Niliota nipo kwenye jumba kubwa la kifahari na nipo na rafiki yangu na kaka yake, kiukweli alitaka kunichumbia lakini sikuwaza kuhusu ndoa na uchumba nikasema siko tayari. kutoka kwenye dirisha la jumba hilo huku akiwa amekasirika au kuchanganyikiwa maana nilitoka na kuingia ndani ya jumba hilo.